HOME

TANZANIA HABARI


Habari moto moto kutoka kila kona ya Tanzania yenye mikoa 26 kutoka Tanzania bara(TANGANYIKA)
niDodoma,Arusha,Kilimanjaro,Tanga,Morogoro,Pwani,Daressalaam,Lindi,Mtwara,Ruvuma,Iringa,Mbeya,Singida,Tabora,Rukwa,Kigoma,Shinyanga,Kagera,Mwanza,Mara,Manyara,Njombe,Katavi,Simiyu,Geita,Songwe. Pia Tanzania visiwani(ZANZIBAR) ina mikoa 5 ambayo ni Unguja kaskazini,Unguja kusini,Unguja mjini magharibi,Pemba kaskazini na Pemba kusini.Pata habari za visa,kiuchumi,siasa,burudani,tamaduni,sanaa,mitindo na mengineyo.



WANAHARAKATI

Wanharakati mbalimbali katika Afrika,Asia,Ulaya,Australia,Amerika wameweza kuishangaza dunia kwa mambo mbalimbali kuhusu nchi,falme,taasisi,sayansi,mapinduzi na mengineyo ambayo ni ya kiuchumi,kisiasa
kijamii,kiutamaduni.Tutaweza kuangazia wanaharakati katika njia mbalimbali kukujuza ugwiji wao katika
mambo yalioyo weza kuleta mabadiliko na kuwapa watu mwanga kuhusu umuhimu wao katika kila sekta.

NUKUU ZA VIONGOZI


Viongozi mbalimbali tunaweza pata hekima,maarifa,ujuzi,busara,maonyo na mambo mengi kutoka kwao
Hata hivyo wengi wao wamekwisha hawapo nasi duniani,wengine wapo na wengine kuzaliwa
Hivyo kupitia nukuu zao tunaweza pata kuwaenzi na kuwakumbuka maneno yao ya hekima.


HISTORIA YA KALE


Kile siku,dakika,sekunde,mwaka na misimu nchi,watu na ulimwengu hutengeneza historia
katika nyanja mbalimbali kama za kisasa,uchumi, na kijamii.
Historia ya kale itaangazia kuinuka na kuanguka kwa nchi,taifa,himaya na falme
na kwa namna gani zilivyoacha historia isiyosaulika.

Comments